Wednesday, April 17, 2013

SERIKALI INAPASWA KULAUMIWA KWA UJENZI MBOVU WA BWAWA- NIMROD MKONO



Mbunge wa jimbo la Musoma vijiji Nimrod Mkono,amesema Serikali inapaswa kulaumiwa kwa kuruhusu ujenzi huo kufanyika katika mkondo wa mkubwa wa maji katika  mto Mara jambo ambalo limesababisha bwawa hilo kushindwa kuhifadhi maji hayo.

No comments:

Post a Comment