Wednesday, March 6, 2013

WAZIRI MKUU WA DENMARK APOKEWA KWA NDEREMO IKULU, DAR ES SALAAM

Mamia ya wananchi wakijiandaa kumlaki Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt kupitia lango la Mashariki la Ikulu Dar es salaam leo.PICHA NA IKULU a3 
Msafara wa Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt ukikaribia lango la Mashariki la Ikulu Dar es salaam leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt  Ikulu Dar es salaam leo. a5 
Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt akisalimiana na Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe a6 
Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt akisalimiana na Waziri wa kazi na  Ushirika wa Zanzibar Mhe Haroun Ali Suleiman a12 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake  Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt wakiingia Ikulu huku wakishangiliwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika maongezi ya faragha na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt leo Ikulu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na  Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt na ujumbe wake wakati wa mazungumzo rasmi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtembeza  Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt katika viunga vya Ikulu kabla ya mgeni huyo kupanda mti wa kumbukumbu.
d10 
Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt akipanda mti wa kumbukumbu huku mwenyeji wake akishuhudia  leo Ikulu

No comments:

Post a Comment