Monday, March 11, 2013

HII NDIYO PICHA YA MHE. RUTO AKIMWAGA CHOZI BAADA YA KUPATA SHAVU LA UMAKAMU WA RAIS KENYA

Tukio hili la Makamu Mpya wa Rais Kenya kumwaga chozi Kanisani mapema jana ikiwa ni kuonyesha furaha ya ushindi akilinganisha matukio mbalimbali aliyopitia limeendelea kuzua hisia na tafsiri tofauti kutoka kwa watu mbalimbali, chek mwenyewe hapa...
Mhe. Ruto akimwaga chozi Kanisani
'Duh Siamini...' 
'Duh Siamini...' 

Mhe. William Ruto

No comments:

Post a Comment