Sunday, February 24, 2013

WANAHABRI KATIKA PICHA MBALIMBALI BAADA YA MKUTANO HAPO FEB 22 MKOANI MTWARA

 James Range wa Star Tv kushoto,jamaa kutoka Mliman Tv tukiwa pamoja Mkoani Mtwara
 Majadiliano,utani kama kawaida baadhi ya Wanahabari wakiwa pamoja na Mkurugenzi wa utafiti kutoka Mfuko wa Bima wa Taifa Bw Raphael Mwamoto
 Emanuel Msigwa,Charles Hilali tukiwa pamoja mkoani Mtwara
 Wanahabari nguli wakiwa katika majadiliano

 Biashara ya Korosho haikuwa nyuma
 Kukumbuka wengine ni sahihi,Godfrey Monyo wa ITV akiwa katika maandalizi ya kupelekea wa home
 Stiven Wang'anyi wa ITV Shinyanga
 William ngazija wa ITV akiwa katika Pozi
 Geodfrey Monyo wa ITV,Kulinge Mongi wa Channel Ten (DOM) tukiwa katika maongezi
 Lina Denis wa Channel ten katika Pozi na mwanahabari mwenzake mkoani Mtwara
 Hapa cjui huyu mchora katuni Mpangala anasema nn?
 Familia ya ITV
Hatimaye sasa ikawa safari ya kurejea DSM na hapa tupo mkoani Lindi mbele ya chuo cha Veta

No comments:

Post a Comment