Friday, December 7, 2012

HILI NDILO HEKALU JIPYA LA MHE. DR. GERTRUDE P. RWAKATARE.LILILOPO MBEZI BEACH.

Mchungaji Kiongozi wa Mikocheni b,Dr Rwakatare siku ya Jumapili alikuwa akifanya uzinduzi wa Nyumba yake mpya iliyoko Mbezi beach pembezoni mwa Bahari ya hindi.Uzinduzi huu ulikuwa wakadi maalumu kwa baadhi ya washirika wake na marafiki wa karibu na familia hii.Sherehe ya uzinduzi huu ilipambwa na Mc na Mtangazaji wa Clouds Fm Harris Kapiga.
 
Endelea kutazama picha zaidi
 
 
                                         Akiwakaribisha wageni kuona uzuri wa nyumba yake.
                                                  Chumbani sehemu ya kujipamba.

http://1.bp.blogspot.com/-OfCxJTbCSDc/UDpPiZXym2I/AAAAAAAABzY/B6Kl319unU8/s400/IMG_1191.JPG
No comment
No comment
No comment

                                    Mchungaji Kiongozi akiongoza mduara wa burudani.

 Hapa ni sehemu ya ofisi yake iliyopo ndani ya nyumba yake.Nyumba hii inasehemu ya Mkutano,Salon,Studio,na sehemu ya mazoezi.
                                           Moja ya kochi la kifahari lililopo sebuleni.

No comments:

Post a Comment