Thursday, November 15, 2012

SAFARI YA MWISHO YA LULU OSCAR LEO JIJINI DAR ES SALAAM

                        Hii ndiyo Nyumba ya Milele ya Lulu Oscar
             Baadhi ya watu aliosoma nao na kufanya nao kazi wakiwa makaburini leo
  Mkuu wa chuo cha habari Royal katika(Mzee Chami) akiwa pamoja na baadhi ya wanahabari waliosoma na Lulu Oscar katika chuo hicho

 Mkuu wa chuo cha habari Royal katika(Mzee Chami) akiwa pamoja na baadhi ya wanahabari waliosoma na Lulu Oscar katika chuo hicho
    Hussen aliyeshika msalaba wamesoma wote na Marehemu lakini pia amefanya kazi na Marehemu Lulu Oscar
    Marehemu Lulu Osca enzi ya uhai wake
            Baba mzazi wa Lulu Oscar
    Maulid Kambaya mfanyakazi wa Redio one Stereo ya jijini Dsm akiweka shada la maua katika kabauri la Lulu Oscar
    Timothy Chelula,Hussen wakiwa Makaburini wakati wa kumsindikiza Lulu Oscar
               Waombolezaji wakiwa makaburini

No comments:

Post a Comment