Monday, October 8, 2012

PICHA NA MATUKIO KATIKA ZIARA YA MANAIBU MAWAZIRI Mh Masele Na Kitwanga katika mgodi wa North Mara wilayani Tarime


 Naibu waziri ofisi ya Makamu wa Rais Mh Chaerles Kitwanga akizungumza na waandishi baada kumaliza ziara yao katika mgodi wa North Mara unaomilikiwa na ABG
 Picha ya juu ni picha ya pamoja ya manaibu waziri wa Madini na Mazingira ofisi ya makamu wa rais Stephen Masele na Charles Kitwanga pamoja na makamu wa Rais wa ABG Tanzania Deo Mwanyika na mkuu wa wilaya ya Tarime na chini yake na wajenzi wakiendelea na kazi katika shule ya Sekondari ya Ingwe inayojengwa na ABG
 Moja ya jengo yanayokarabatiwa na ABG zinazozunguka mgodi wa North Mara
 Manaibu waziri wakitembezwa kukagua ukarabati wa majengo ya shule
 Kazi ya ukarabati ukiendelea kwa kasi

 Moja ya viwanja vinavyoandaliwa kwa ujenzi wa shule za msingi Matongo na Nyamongo ambazo zinahamishwa toka maeneo ya awali ili kuepukana na vumbi linalosababishwa na uchimbaji wa dhahabu,ujenzi ambao utagharimu ABG dola milioni 3

 Pamoja na kuwachimbia visima vya maji pia ABG kupitia mgodi wake wa North Mara unawasambazia maji safi na salama wananchi katika maeneo yao
 Waandishi wakiwa kazini
 Manaibu waziri wa Nishati Mh Stephen Masele na wa Mazingira Charles Kitwanga wakifungua moja ya visima vya maji
 Waandishi kazini
 Manaibu waziri wakiwa na viongozi wa mgodi na mkuu wa wilaya ya Tarime John Henjewele
 Makamu wa rais kulia akiwanyesha kitu mawaziri
 Ufunguzi wa kisima katika kijiji cha Nyamwaga
 M/kiti wa kijiji Nyamwaga Bw Sasi akiipongeza ABG kwa kuwachimbia kisima

 Naibu waziri Charles Kitwanga akimtwisha maji mama mmoja baada ya kisimu kuzinguliwa
 Naibu waziri Stephen Masele katika picha ya pamoja na watumizi wa kituo cha afya cha Sungusungu kilichokarabatiwa na mgodi wa North Mara
 Mmoja ya watu wanakatana mapanga wenyewe kwa wenyewe kwa kugombania mawe ya mgodi
 Deo Mwanyika akijiandaa kujibu maswali ya waandishi wa habari
 Mh Masele akiwa na baadhi ya viongozi wa mgodi
 Picha ya pamoja manaibu waziri na uongozi wa ABG na Serikali




 Zahanati ya Sungusungu iliyokarabatiwa na ABG
 Sehemu ya polisi walikuwa katika ziara ya viongozi hao



 Mashine inayotumika kufyatua matofari ya kujengea shule mpya ambazo zinahamishwa kupisha uchimbaji wa dhahabu

 Mh Masele akisisitiza jambo
 Sehemu ya matofari yanayotarajia kutumika kujenga shule mbili mpya

 Mh Kitwanga akizungumza baada ya ziara yake North Mara
 Mh Masele akizungumza na waandishi
 Sehemu ya mgodi wa North Mara


 Sehemu ya wafanyakazi wa North Mara wakijiandaa kuzungumza na naibu waziri Nishati


 Meneja wa mgodi wa North Mara Bw Gray Chapman akitoa maelezo kabla ya naibu waziri Nishati kuzungumza na wafanyakazi

 Mh Masele akizungumza na wafanyakazi
 Moja ya shimo linalichimbwa katika eneo la Gokona North Mara
Viongozi wakitazama shughuli za uchimbaji

                      Picha na Maneno kwa hisani ya  www.georgemarato.blogspot.com

No comments:

Post a Comment