Thursday, November 24, 2011

SAFARI YA WAFANYAKAZI WA VICTORIA FM MKOANI IRINGA

 Anaitwa Bonny Zacharia mfanyakazi wa Ebony Fm ya mkoani Iringa lakini zamani alikuwa mfanyakazi wa Vfm ya mkoani Mara
 Kama ilivyokawaida asubuhi ya leo tulikutana na vijana wa Ebony ili kufanya kazi ilituleta Iringa
       Barabara ya Iringa - Mbeya inapendeza jamani,ebu chekiiiiiiiiiii
  Suala la kupanda miti huku naona somo liliingia
  Baaada ya kufika katika kijiji cha Nyalero kazi ilianza kama unavyoona mafundi wanaanda mambo
                            Feel the Difference
  Hakuna kazi nyepesi kama unataka mafanikio hapa mwanaume anaingiza siku
  moja ya kifaa ambacho kinatumika katika kurushia matangazo kutoka sehemu mbalimbali ingawa huko mambo ya mtandao yalisumbua
  Unapokuwa mtangazaji lazima uwe na akili zaidi ya ulizopewa na Mola,Maregesi baada ya kuona mtandao unasumbua aliamua kutumia simu na mambo yakaenda poaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
   Hatimaye raia wakasogea mambo yakapamba moto kwa kutoa kero zao na hapa nilibaini kuna viongozi katika eneo hilo wanamatumizi mabaya na ofisi za umma
                                    watu kibao
                                         Raia akijiachia na mawazo yake
                              Umakini lilikuwa jambo muhmu sana
                       Rika zote na jinsi zilikuwepo

 Baada ya wananchi kutoa kero zao na kumaliza kipindi majira ya saa nne asubuhi tuliamua kupata supu ya kuku,maeneo yanaridhisha usione kwa nje brooooooooooooooooooooooo
    Program Meneja wa Ebony akalazimika kutoa somo kwa vijana wa Vfm
             
                       HAPA ILIKUWA NI JANA WAKATI TUNAINGIA MKOANI IRINGA
                             Mazingira ya Iringa yanapendeza kiukweli
                                  Ili mambo yaende mawasiliano muhimu
                          mtaani nmambo fasta fasta


                                   Hotel hii ndiyo tumefikia hapa mkoani Iringa














No comments:

Post a Comment