Monday, November 14, 2011

SIKU AMBAYO BWANA BONIPHACE AUGUSTINE ALIPOUAGA UKAPERA MJINI MUSOMA

      Kijana Boniphace Augustine akiingia ndani ya ukumbi
         Bi Harus Joyce na Best man wakiingia ndani ya ukumbi
 Nilikutana nae katika ukumbi na mawasilino yakawa mazuri sana, ni rafiki tu
               Vijana wakiwa katika pozi baada ya kuingia ukumbini
                          Bwana na Bibi wakiwa katikapozi ukumbini

                       Chondechonde ulevi noma
                                     utulivu ulikuwepo



                          Baadaye tulijumuikana bi Harusi ukumbini
                     Wanamerereta bwana Boniphace Augustine na Bi Joyce Augustine
  Anaitwa Boniphace Mgendi kijana ambaye nadhani ni msaada mkubwa kwa taifa kama atapata malezi bora

No comments:

Post a Comment