Saturday, May 21, 2011

SEMINA YA SIKU MBILI KWA WANAHABARI KATIKA HOTEL YA G&G JIJINI MWANZA KUHUSIANA NA SUALA ZIMA LA ULEVI

 Wafanyakazi wa vyombo mbalimbali vya habari Tanzania wakiwa katika semina ya kujadili suala zima la ulevi
 Semina ikiendelea katika ukumbi wa Hotel ya G&G jijini Mwanza
 Anaitwa Dj Lami kutoka Kahama Fm 90.8 akiwa katika pozi na mfanyakazi mwenzake
 Mgeni Rasmi katika semina hiyo mganga mkuu wa mkoa wa Mwanza Dr Meshack Massi katikati  akiwa na wageni wengine kulia kwake ni Mr Mlawa na mtaalamu wa masuala ya akili
                                     Kama kawaida semina inaendelea
                                      Mwezeshaji mr Abuu akisisitiza jambo
                Umakini ulikuwa muhimu katika semina hiyo maana jamii inawategemea
 Emanuel Chibasa kutoka Victoria Fm 90.6 Musoma kulia akiwa na Dj Lami kutoka kahama 90.8
Anaitwa Debora Mpagama kutoka Redio Free Afrika ya jijini Mwanza akiingia katika ukumbi huo kwa mbwembwe

No comments:

Post a Comment