Saturday, May 21, 2011

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA SEMINA ILIYOFANYIKA HOTEL YA G&G JIJINI MWANZA ILIYORATIBIWA NA JOHN HOPKINS UNIVERSITY

          Umakini ni muhimu katika semina maana baada ya hapo kazi ndiyo inafuata
                                 Jamani hata mapozi yalikuwepo baada ya semina
                             Hawa vp wanapeana namba nini? oooh ilikuwa ni kupeana taarifa fulani

          Kueleza wajumbe nini umeelewa katika hilo nalo lilikuwa jambo muhimu
                                Hapa sijajua vizuri wapo mguu sawa au mguu pande?

No comments:

Post a Comment