Monday, January 3, 2011

VIJANA WALIVYOSHEREKEA KRISMAS NA MWAKA MPYA

 Anaitwa Kulwa mgendi ni mdogo wangu ambaye amemaliza kidato cha nne na sasa anasubri matokeo,nilimuulia angependa kuwa nani akanijibu kuwa anatamani sana siku mmoja awe mchumi wa Kimataifa. haya dogo pambana
Hawa ni wapwa wangu ambao nao hawakuwa nyuma kudai nguo mpya kwa ajili ya sikuku


        Shamrashamra za sikukuu katika soko la Nyasho mini Musoma

No comments:

Post a Comment