Sunday, January 23, 2011

NYERERE NA WENJE WAWASAHA MOTO MUSOMA LEO

Wabunge wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kwam majimbo ya Musoma mjini  na Nyamagana leo wamefanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya shule ya msingi Mukendo na kuhudhuriwa na wakazi wengi wa jimbo la Musoma mjini

  Suala la KATIBA na DOWANS yalikuwa ni agenda kubwa

  Mdau picha na maelezo zaidi nitakueleza

No comments:

Post a Comment