Thursday, January 27, 2011

NYERERE NA WENJE WALIVYOTEKA MUSOMA

Chama cha Demokrasia CHADEMA siku ya jumapili kilifanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya shule ya msingi Mukendo ambapo umati mkubwa wa wakazi wa manispaa ya Musoma,Katika mkutano huo mgeni rasmi alikuwa mbunge wa jimbo la Nyamagana kutoka jijini Mwanza ambapo suala la katiba na Dowans lilisemwa kwa nguvu kubwa.
Mbali na hivyo pia madiwani wa kata za jimbo la Musoma mjini kutoka chama cha CHADEMA walitoa tathimini yao tangu wameingia madarakani.

  Mwenyekiti wa CHEDEMA wilaya ya Musoma Charles Kayele
                 Mbunge wa Musoma mjini Vicent Nyerere
 Aliyekuwa mgombea ubunge kupitia chama cha NCCR Mageuzi akiwa jukwaa moja na Nyerere katika kuelezea ushirikiano na mbunge huyo
   Umati mkubwa wa watu waliojitokeza katika mkutano huo


                                  UMEONA HIYOOOOOOOOOOOOOOOOOO

   Meya wa manispaa ya Musoma ALex Kisurura alisisitiza jambo katika mkutano huo
  Ilikuwa ni muda wa dk moja kuwakumbuka wale wote waliopoteza maisha yao huko jijini Arusha
   Mtoto wa Mama Ntilie Ezekiel Wenje akihamasisha kukunja ngumi kama salaam ya chama hicho
                                       Huu ulikuwa ni msisitizo
  Waliulizwa wangapi wanataka katiba mpya??????????????????????????
   Wakajibu woteeeeeeeeeeeeee kwa kuinua mikono

      WALEMAVU WALIPEWA NAFASI KATK MKUTANO HUO
  Wananchi wa jimbo la Musoma mjini wakisukuma gari la  Mh Wenje

No comments:

Post a Comment