Hili ni vumbi ambalo Mh Mbunge alisema liondolewe kwa sababu linaathiri wanafunzi wa shule ya sekondary Musoma Tech wakati upepo ukivuma kuelekea upande wa shule hiyo
Hizi mashine zinaonekana kama vyuma chakavu
Jamani kweli kiwanda kiliendeshwa kwa stahili hii ya mashudu?
Tazama uharibifu huu wa misitu?raia wa kawaida wanaotumia kwa ajili ya kupika tunasema wanaharibu mazingira je na hawa wanafanya nini?Mh Nyerere akitazama mfereji wa maji machafu yanayotoka kiwandani yakielekea ziwani ingawa wahindi hao walikataa lakini ukweli yanaelekea ziwa Victoria
Sehemu hiyo inaonekana imezibwa ili maji yaelekea sehemu ambayo haikustahili,pamoja na hivyo kiwanda hicho kina wafanyakazi wasiozidi 50 je hayo maji yanaathiri watu wangapi?
Hizi ni mashine ambazo wanasema wameleta ili kufufua kiwanda hicho je itawezekana ?
Mashine za hapa zilienda wapi?
No comments:
Post a Comment