Anaitwa Bi Abishagi Bhoke ambaye pia ni mhadhiri katika chuo kikuu cha Mt Augustine cha jijini Mwanza ambaye yeye katika mafunzo haya alifundisha jinsi ya mwandishi wa habari hasa katika redio kuwa na ushawishi kwa wasikilizaji wake( Art of Persuasive Communication)
Anaitwa Mr Lubaba naye ni mkufunzi katika chuo kukuu cha Mt Augustine ambaye yeye katika mafunzo hayo alifundisha kuhusu habari za uchunguzi( Investigative Journalism)
Anaitwa Mr Paschal Shao ni mkufunzi pia katika chuo kikuu cha Mtakatifu Augustine,katika mafunzo hayo alihusika katika mafunzo ya utatuzi wa migogoro(Mediatory report and Conflict Resolution).
Huyu ni Mr Masanja ambaye pia ni mhadhiri katika chuo hicho na katika mafunzo hayo alifundisha kuhusu sheria za mambo ya habari(Journalism laws)
No comments:
Post a Comment