Friday, December 17, 2010

VIJANA WA VICTORIA FM WAENDELEA KUPATA SHULE LEO ASUBUHI

 Mhadhiri wa chuo kikuu cha habari cha St Augustine Mr Lubaba akifundisha mambo ya Investigation Journalism leo asubuhi
 Mr Lubaba akiendelea kutoa elimu ya uchunguzi katika suala zima la habari leo asubuhi
 Mambo bado yanaendelea kwa pembeni kuna Laptop yenye kutoa mambo muhimu
 Vijana wa Victoria Fm wakiwa makini katika kusikiliza somo la utafiti
 Mwana wa Afrika nilipata nafasi ya kutoa mtazamo wangu katika Investigation Journalism
  Mambo yanaendelea katika chuo kikuu cha St Augustine jijini Mwanza leo asubuhi
 Shule ilikwisha baadaye tukapata muda muafaka wa kupata Breakfast

Mambo yaliendelea katika meza ya msosi,jamaa wamejenga mwili ile mbaya

 Meneja wa Victoria Fm John Katute naye akipata Breakfast asubuhi ya leo ndani ya St Augustine
 Shomary Binda akipata kifungua kinywa leo asubuhi
 Hata kama ni mahusiano hapa yamefika mbali,Sefroza na Binda katika Breakfast leo asubuhi
Emanuel Chibasa baada ya kushiba akiwa anapumua kwa pembeni yupo bibie Happy Mohamed

No comments:

Post a Comment