Anaitwa Mr Shao amekuwa nasi katika masomo yanayohusiana na utatuzi wa migogoro katika jamii
Kusoma ni jambo jema hasa kama una nia ya dhati kusaidia jamii yako ambayo umeona inafanya mambo yasiyopendeza katika dunia ya leo,Serfoza,Meneja wetu Katute na Binda wakiwa makini katika mafunzo hayoMariam,Sabina na Emanuel Chibasa wakiwa makini katika mafunzo ndani ya chuo kikuu cha Mtakatifu Augustine jijini Mwanza
Dozi inaendelea
Katik chuo kikuu cha mtakatifu Augustine watu ni wengi hivyo unaweza kusoma hapo usiweze kumtambua mwenzako kama si mtu wako wa karibu
Vijana wakipanda ghorofani katika kusomo masomo yanayohusiana na mambo ya ushawishi katika jamii
Jamani na mimi nimo
Mlango kama msosi wako haueleweki kuufungua itakuwa ngumu
Mwalimu katika somo la ushawishi (Bhoke) akitoa ufafanuzi leo mchana katika somo hilo upande wa matangazo
Umakini ndio jambo la msingi vijana
Si umakini tu pia na kuelewa ili elimu uliyoipata iwe msaada kwa wenzako
Vichwa vinazidi kupikwa
Kama kawaida vijana wako makini na naamini mwaka 2011 utakuwa wa mabadiliko katika tasnia ya habari ndani ya Victoria Fm
UMAKINI ZAIDI
Umakini unatakiwa katika jambo huska
Baada ya dozi tunatoka sasa
Jamani tuko pamoja na Meneja wetu JM Katute
Nilifurahi sana kukutana na vichwa hivi ambavyo viliwahi kufanya mazoezi ya vitendo katika redio yetu,vijana wanachukua digrii ya mahusiano ya umma.kazeni mwendoi vijana jamii inawategemea
Happy hataki mchezo yaani umakini kwake A
Hii ndio siri ya jiji la mwanza kuwa safi kila mwaka
Wakati natoka chuoni nikiwa katika gari ya Sefroza tulikutana na huyu mwendesha pikipiki akiwa amebeba abiria lakini hana kofia sasa hii ni hatari sana katika maisha yake .
No comments:
Post a Comment