Friday, December 17, 2010

BAADA YA SHULE TUNAANGALIA DUNIA INVYOKWENDA

 Baada ya kupata shule ya maana sasa muda ulikuwa ni wa kutazama dunia jinsi gani inavyokwenda  kama ujuavyo dunia kwa sasa imekuwa kijiji
 Mr Denis baada ya kutoa semina kuhusu mambo ya maadili katika uandishi wa habari sasa kazi ikawa ni kuwapa vijana mawasiliano katika sehemu mbalimbali ikiwa ni njia ya kupanua mtandao wa kimawasiliano

No comments:

Post a Comment