Tuesday, August 7, 2012

   CCM MARA MAMBO YAANZA KUNOGA
Ni kijana wa chama Cha Mapinduzi anaitwa Elias Kerenge amechukua fomu ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Mara.
 
Moja ya mikakati yake ni kuhakikisha pale atakapovhaguliwa na Mkutano MKUU WA uchaguzi wa Umoja huo anavitumia vitega uchumi vya umoja huo yakiwemo majengo pamoja na miradi mbalimbali kuhakikisha kuna kuwa na Saccos ya vijana katika kuinuana kiuchumi na kuacha kuwa tegemezi.

No comments:

Post a Comment