Tuesday, June 9, 2015

Picha mbalimbali kutoka Musoma wakati Prof Muhongo akitangaza nia ndani ya CCM kugombea urais wa Tanzania

            Profesa Sospeter Muhongo akielezea umati ulioko mbele yake sababu ya kuomba nafasi hiyo
                              Wazee wa mkoa wa Mara wakimsikiliza Prof Muhongo
                              Ukumbi ulishiba ikabidi wawe hadi nje
                                                Makundi mbalimbali yalikuwepo
                              Matangazo hayo yalikuwa moja kwa moja kupitia AZAM TV na CH 10
                                  Burudani kwa wote hawakulala na mambo yakawa poa
                  Baada ya kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa jamaaaa haooo Kenya

No comments:

Post a Comment