Wahariri wa makala kutoka katika Gazeti la Mwananchi Nevil Meena
pamoja na Peter Olwa kutoka katika gazeti la Uhuru, wamewaaomba wahariri
wa vyombo vingine vya habari kutoa ushirikiano katika kazi za
uchunguzi wanazofanya waandishi wa habari kutoka vijijini.
Maelezo hayo wameyatoa katika mafunzo maalum yaliyofanyika Morogoro.
Aidha Meneja mafunzo wa Tanzania Media Fund (TMF), Radhia Mwawanga,
amewashauri waandishi wa habari kuandika habari zilizo makini, kwa
sababu habari ikiwa imechunguzwa kwa undani mhariri lazima ataitumia iwe
kwenye gazeti, redio au televisheni.
source>taarifa newz
No comments:
Post a Comment