Bi.
Rose Reuben ni mwandishi wa habari za uchunguzi kwa njia ya Televisheni
na Redio kwa muda wa miaka 19 akiwa kwenye mafundisho ya semina ya
waandishi wa habari za uchunguzi mjini Morogoro.
Bw. Burhani Muhunzi ni mwandishi wa habari za uchunguzi kwa upande wa magazeti kwa miaka 40 akichangia mada kwenye semina hiyo.
Bw. George Nyembele pia anafanya habari za uchunguzi wa masuala mbalimbali kwenye magazeti kwa muda wa miaka 34.
No comments:
Post a Comment