Thursday, March 27, 2014

Viongozi watakiwa kuishi kwa Upendo na kutumia nafasi zao kuitumikia Jamii

  Mwili wa Marehemu John Tuppa ukitolewa ndani
Waombolezaji wakiwa na nyuso za Majonzi
    Hakika nyuso hazina furaha
  Kutoka kushoto Augustine Mgendi wa Chn 10,George Marato wa ITV na Florence Focus wa Mwananchi.
  Mwenyekiti wa Bakwata Musoma mjini akiwa na Askofu Msonganzila wa Kanisa Katoliki
 Rais wa klabu za Waandishi wa habari Tanzania Keneth Simbeya akitoa  salamu za rambirambi
 Mtoto wa Marehemu Gabriel John Tupa akitoa shukran
 Mjane wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akiwa mmoja wa waombolezaji
 Askof Msonganzila akiweka sahihi kwenye kitabu cha waombolezaji
Waombolezaji wakiwa kwenye mstari
  Nikiwa katika uwajibikaji
Wanafunzi wakiwa kwenye mstari kutoa heshima za mwisho
Mdau Shomari akitazama mwili wa Marehemu John G.Tuppa

Heshima ya mwisho
Mkw wa Marehemu wa pili kutoka kushoto akiwa kanisan

No comments:

Post a Comment