Thursday, September 26, 2013

ABDULRAHMAN KINANA AWAWEKA SAWA WANA MUSOMA, AWAAMBIA WAHOJI MAENDELEO YAO

2Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amepanda kwenye kivuko cha MV Musoma kinachovusha watu kutoka Wilaya ya Rorya na Musoma  3Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa katika kivuko hicho pamoja na wananchi, kushoto aliyembeba mtoto ni Katibu Mkuu wa UWT Taifa Amina Makilagi 4 Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi wa CCM Nape Nnauye akiwa amesimama katika ukingo wa kivuko hicho pamoja na wananchi. 5Msafara wa magari ukitoka kwenye kivuko cha MV Musoma mara baada ya kuwasili mjini Musoma leo ukitokea wilayani Rorya. 6Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  wa tatu kutoka kulia na Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi wa CCM Nape Nnauye wa pili kulia  wakishuka kwenye kivuko cha MV Musoma mara baada ya msafara wake kuwasili mjini Musoma leo 7Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi wa CCM Nape Nnauye  wakiwapungia mkiono wananchi waliojitokeza kuwapokea mjini Musoma 8Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia vikundi mbalimbali vya sanaa mjini Musoma 9Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozwa na Jailos Chilewa Mhandisi mkazi  wa mradi mkubwa wa maji wa ziwa Victoria  uliopo Bukanga Makongo nje kidogo ya Manispaa  ya Musoma wakati alipokuwa akikagua ujenzi wa mradi huo leo. 10 11Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiendelea na ukaguzi wa mradi huo. 12Ukaguzi ukiendelea 13Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa mganga mkuu wa mkoa wa Mara Bw. Samson Winani wakati akikagua mradi wa hospitali ya mkoa ya Rufaa Kwanga mjini Musoma, ujenzi wa mradi huo unatarajiwa kuanza kuendelea hivi karibuni. 14Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ofisi ya CCM Kata ya Bweri mjini Musoma. 15Hii ndiyo ofisi yenyewe. 16Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  akipokea zawadi jogoo kutoka kwamwenyekiti wa shina namba 6 mama ThabithaAmina Idd mara baada ya kutembelea shina hilo na kuongea na wanachama. 17Katibu Mkuu wa Umoja wa wanawake UWT Mama Amina Makilagi akiwahutubia wana Musoma leo kwenye mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mukendo mjini Musoma leo. 18Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi wa CCM Nape Nnauye akizungumza na wanaMusoma leo kwenye viwanja vya Mukendo. 19Hawa ni miongozi mwa wananchi waliohudhuria katika mkutano huo leo. 20Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wana Musoma leo.

kwa hisan ya Fullshangwe

No comments:

Post a Comment