Wednesday, July 31, 2013

ZIARA YA WAZIRI MKUU WA THAILAND BI YINGLUCK SHINAWATRA KATIKA HIFADHI YA SERENGETI MKOANI MARA

 Maandalizi ya Mapokezi ya Waziri Mkuu waThailand Yingluck Shinawatra
 Makanda wakiwa tayar kwa Mapambano
 Waziri wa Mali asili na Utalii nchini Baloz Hamis Kagasheki akipokewa na Mkurugenzi wa TANAPA Allan Kijaz
  Waziri wa Mali asili na Utalii nchini Baloz Hamis Kagashek wakikumbatiana kwa furaha na Mkuu wa Mkoa wa Mara Bw John Tuppa
 Mkurugenz wa TANAPA Allan Kijaz akisalimiana na Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra
Kuuza Sura Muhimu
Kazi kweli kweli

No comments:

Post a Comment