![Mshambuliaji wa Taifa Stars Mbwana Samatta (katikati) akijaribu kuwatoka mabeki wa Morocco, Stars ilifungwa mabao 2-1.](http://www.habarimpya.com/images/samata%20va%20moroco.jpg)
TIMU ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) imeshindwa kutamba mbele ya Morocco baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1,Morocco wamepata ushindi wao wa kwanza nyumbani baada ya kufanikiwa kuhitimisha njama za kupata ushindi.
Njama za waarabu hao zilifanikiwa baada ya beki wa Stars Agray Morris kutolewa nje ya uwanja kwa kadi nyekundu.
Adhabu hiyo iliweza kuifanya Stars imalize dakika 90 ikiwa na vijana tisa, Uwanjani, huku Amri Kiemba akiipata bao la kufutia machozi.
Hata hivyo Stars imebaki katika nafasi ya pili baada ya kuwa pointi 6 nyuma ya Ivory Coast yenye pointi 10 baada ya kufanikiwa kuichapa Ghambia kwa jumla ya mabao 3.0.
Morocco imefikisha pointi tano huku Ghambia ikibaki na Pointi mbili,hata hivyo Stars bado inafasi kubwa ya kusonga mbele endapo itapata ushindi katika mechi mbili zilizobaki.
![]() |
Mfungaji wa bao la Stars, Amri Kiemba kushoto akimhamasisha Khamis Mcha 'Vialli' kuepeleka mpira baada ya bao wanze haraka kusaka mabao zaidi |
![]() |
Mbwana Samatta akiwatoka mabeki wa Morocco |
![]() |
Samatta huyooo |
![]() |
Samattaaaa |
![]() |
Thomas Ulimwengu akifumua shuti |
![]() |
Thomas Ulimwengu akimtoka beki wa Morocco |
![]() |
Samatta akiwatoka mabeki wa Morocco |
![]() |
Samatta alifanya kazi...basi tu haikuwa bahati yake |
![]() |
Samatta alikuwa tishio |
![]() |
Kikosi cha Morocco kilichoifunga Stars 2-1 |
![]() |
Watanzania waliokuja kuiunga mkono timu hapa |
![]() |
Mfungaji wa bao la Stars, Amri Kiemba akiwatoka wachezaji wa Morocco |
![]() |
Kikosi cha Stars leo |
![]() |
Salum Abubakar 'Sure Boy' akimiliki mpira pembeni ya kiungo wa Morocco |
![]() |
Kevin Yondan akimdhibiti mshambuliaji wa Morocco |
![]() |
Shomary Kapombe akimfukuza winga wa Morocco |
![]() |
Mbwana Samatta alikuwa anakaba pia |
![]() |
Zacharia Hans Poppe kulia |
![]() |
Aggrey Morris alitolewa kwa kadi nyekundu kwa rafu iliyosababisha penalti na bao la kwanza la Morocco |
![]() |
Erasto Nyoni akipambana |
![]() |
Mashabiki wa Tanzania |
No comments:
Post a Comment