


Spika wa bunge Anne Makinda akizungumza katika hafla ya kumuaga Spika
Mstaafu Samuel Sitta kwenye viwanja vya bunge Mjini Dodoma juni 21,
2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mke
wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na Mheshimiwa Dr. Maua
Daftari ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa Kamati ya hafala ya kumuaga
Spika wa zamani Samuel Sitta kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni
21, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:
Post a Comment