Mwana Wa  Afrika

Saturday, May 18, 2013

YANGA 2 SIMBA O

_MG_0384Mchezaji wa timu ya Yanga Didier Kavumbagu akikokota mpira mbele ya mchezaji wa timu ya Simba Abdallah Seseme katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom unaofanyika jioni hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam , hivi sasi ni kipindi cha pili na Yanga wanaongoza magoli 2 -0 dhidi ya Simba ambayo imekosa penati katika kipindi cha kwanza wakati mchezaji wake Mussa Mude akipiga vibaya mpira huo baada ya Mrisho Ngassa wa Simba kuangushwa kenye eneo la hatari _MG_0386Wachezaji wa timu ya Simba na Yanga wakiwania mpira wakati wa mchezo wao unaofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni hii. _MG_0398Baada ya golikipa wa Simba Juma K. Juma kuteswa hali ilikuwa hivi. _MG_0401Wachezaji wa Yanga wakishangilia baada ya kupata goli la kwanza dhidi ya Simba.

 

Utani ulikuwepo pia
Yote kwa yote mechi iliishia Yanga 2, Simba 0

Zakutana Mara 101. Yanga yashinda Mara 38 na Simba mara 32 huku droo zikiwa 31

Posted by Augustine Mgendi at 7:44 PM
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Contact

Contact

Like Us On Facebook

Flag Counter

Followers

Popular Posts

  • Chelsea imekuwa Timu ya kwanza toka Uingereza kuweka historia ya Kubeba UEFA CHAMPIONS LEAGUE na EUROPA LEAGUE Mfululizo.
    HISTORIA: Chelsea becomes the first English team to win all three major European Club competitions, having already claimed ...
  • SHEREHE ZA UZINDUZI WA KANISA LA KKKT SHINYANGA DAYOSISI YA KUSINI MASHARIKI YA ZIWA VICTORIA NA KUWEKWA WAKFU KWA ASKOFU EMMANUEL MAKALA.
      MWONEKANO WA NJE WA KANISA JIPYA LA KKKT SHINYANGA   WAZIRI MKUU ALIYEJIHUDHURU MH EDWARD LOWASA AKISHIRIKI IBADA KATIKA KANI...
  • TAZAMA PICHA ZA KILICHOJIRI KATIKA MAZISHI YA KASH MSANII WA BONGO MOVIE
    Waigizaji na wadau mbalimbali leo wamekusanyika kwenye mazishi ya muigizaji wa filamu nchini, Kashi aliyefariki wiki hii. Mazishi hayo...
  • PICHA ZA RAIS BARACK OBAMA AKIWA AMEWASILI TANZANIA LEO
    Rais wa Marekani Barack Obama pamoja mkwewe wakilakiwa na mwenyeji wao Rais Jakaya Kikwete mara tu walipowasili kwenye uwanja...
  • CHUO CHA MIPANGO DODOMA CHAONGEZA TAWI MWANZA
    Na Tiganya Vincent, Dodoma _MAELEZO_Dodoma   Chuo cha Mipango cha Mjini Dodoma kinatarajia kufungua tawi jipya katika Mkoa wa Mwanz...
  • PROFESA J AFUNGUA SALOON KUBWA NA YA KISASA TAZAMA PICHA HAPA
    PICHA ZOTE KWA HISANI YA DJ CHOKA
  • ROYAL COLLEGE OF TANZANIA
    Wantazania mambo vipi leo nimeona ni vyema sana nikakuonyesha japo kwa uchache chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Royal kilichopo ji...
  • Muuza Dagaa ashinda ubunge viti Maalum Mara
    MCHUUZI wa dagaa kwenye mwalo wa Mwigobero uliopo Manispaa ya Musoma,Agnes Methew,ameibuka mshindi wa kwanza kwenye kura za maoni za kut...
  • MAUAJI YA KUTISHA MARA,WATU WAKATWA VISHWA, SERIKALI YADAIWA KUTUMIA WAANDISHI UCHWARA NA WENYE NJAA KUKANUSHA UKATILI HUOHAYO
    Na George Marato,Musoma Kufuatia mauji ya kinyama na kutisha kuibuka mkoani Mara,hatimaye jeshi la Polisi mkoani humo...
  • TBC NI MALI YA NANI WATANZANIA?
    Na Egbert Mkoko, Grahamstown, Afrika Kusini NAOMBA nianze makala haya kwa kuelezea kisa kilichotokea hapa Afrika Kusini mwaka 20...

Soccer Live

Total Pageviews

Sparkline

Blog Archive

Daily Calendar

2013. designed by Mark Jay.. Simple theme. Powered by Blogger.