Saturday, April 27, 2013

HUYU NDIE MFANYABIASHARA MDOGO KULIKO WOTE MJINI IRINGA

Mtoto ambae  jina lake halikuweza  kupatikana mara moja akiuza karanga na bisi katika  uzio wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa katika  stendi ya  daladala ya  Posta


Serikali  imekuwa  ikipiga  marufuku  wazazi  kuwatumikisha  watoto kama  hawa katika  biashara  ili  kuwawezesha kupata  elimu  ila bado  baadhi ya  wazazi  wamekuwa  wakiwatumikisha  watoto kama ilivyo kwa mtoto  huyu ,utaisoma makala maalum ya mtoto  huyu hapa hivi karibuni  ili  kujua maisha yake kwa ujumla
Source Mzee wa Matukio Daima

No comments:

Post a Comment