Katibu
wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi Nape Nnauye akizungumza katika mkutano
huo wakati akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Jukwani.
Umati wa wananchi ukiwa umejitokeza kwa wingi katika mkutano huo uliofanyika mjini Morogoro leo.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond pamoja na wacheza shoo wake wakipagawisha wananchi katika mkutano huo.
Diamond akifanya vitu vyake jukwaani
Diamond akiwaimbisha wananchi katika mkutano huo
Wananchi wakiwa wamepagawa na Diamond
Katibu wa NEC Oganizesheni Dk. Mohamed Seif Khatib akizungumza katika mkutano huo
Diamond akifanya vitu vyake jukwaani
Diamond akiwaimbisha wananchi katika mkutano huo
Wananchi wakiwa wamepagawa na Diamond
Katibu wa NEC Oganizesheni Dk. Mohamed Seif Khatib akizungumza katika mkutano huo
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akimtwisha ndoo ya
maji Bi. Diana Salum mkazi wa Kata ya Kilongo Manispaa ya Morogoro baada
ya kuzindua moja ya visima 23 virefu vya maji vilivyochimbwa na mbunge
wa jimbo hilo Mohammed Aziz Abood,
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akifungua bomba la maji mara baada ya kuzindua kisima hicho leo.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akikata utepe
kuashiria ufunguzi rasmi wa kisima cha maji katika kata ya Kilongo
Manispaa ya Morogoro, kulia ni Mohammed Aziz Abood Mbunge wa jimbo la
Morogoro mjini na kushoto ni mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akisalimiana na wananchi wa Kata ya Kilongo.
Moja wa visima vya maji vilivozinduliwa leo hiki ni cha kata ya Kilongo
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akizungumza na
wananchi katika kata ya Kilongo kushoto ni Mbunge wa Morogoro Mjini
Mohammed Aziz Abood
wananchi wakiwa wamekusanyika kushuhudia uzinduzi huo.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akifungua bomba la maji mara baada ya kufungua kisima cha maji katika kata ya Kichangani, kulia ni Mbunge wa Morogoro Mjini Mohammed Aziz Abood.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akifungua bomba la maji mara baada ya kuzindua kisima hicho leo.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akikata utepe
kuashiria ufunguzi rasmi wa kisima cha maji katika kata ya Kilongo
Manispaa ya Morogoro, kulia ni Mohammed Aziz Abood Mbunge wa jimbo la
Morogoro mjini na kushoto ni mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akisalimiana na wananchi wa Kata ya Kilongo.
Moja wa visima vya maji vilivozinduliwa leo hiki ni cha kata ya Kilongo
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akizungumza na
wananchi katika kata ya Kilongo kushoto ni Mbunge wa Morogoro Mjini
Mohammed Aziz Abood
wananchi wakiwa wamekusanyika kushuhudia uzinduzi huo.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akifungua bomba la maji mara baada ya kufungua kisima cha maji katika kata ya Kichangani, kulia ni Mbunge wa Morogoro Mjini Mohammed Aziz Abood.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdurahman Kinana
akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo kwenye
uwanja wa shule ya Kiwanja cha ndege Manispaa ya Morogoro mjini ,
mkutano huo ukikuwa ni wa kumalizia ziara yake ya siku kumi katika
wilaya zote za mkoa wa Morogoro ambapo amehutubua taifa moja kwa moja
kupitia kituo cha televisheni ya Shirika la Utangazaji la taifa TBC.
Kinana amezungumza mambo mengi akiwaambia wabunge wa CCM kutembea kifua
mbele na kukosoa waziwazi uozo wowote utakaofanywa na viongozi wa
Serikali na Chama kwani CCM ndiyo wenye kusema na kukosoa makosa ya
kiutendaji katika serikali kwasababu ndiyo iliyoaminiwa na watanzania
kuongoza watanzania, CHADEMA wameshindwa kazi ndiyo maana wanafanya fujo
bungeni na kujaribu kuvuruga kizuri chochote ambacho serikali ya CCM
inataka kufanya kwa maslahi ya watanzania
No comments:
Post a Comment