Sunday, February 3, 2013

ZIARA YA BAADHI YA WAANDISHI KUTOKA MKOANI MARA KATIKA KIWANDA CHA NYANZA BOTTILING LTD CHA JIJINI MWANZA

 Meneja Uendeshaji wa Kiwanda hicho Peter Simon akiwa pamoja na Mzee JaphetKubebeka afisa mauzo mkoa wa Mara wakati tukijitambulisha kwa meneja huyo.

Kiwanda Kimefanya uwekezaji mkubwa sana lakini pia kimetoa ajira kwa watanzania kwa asilimia zaidi ya 90 huku wageni wakichukua asilimi chache sana na hii ni kutokana na wamiliki kuwaamini Watanzania kuwa wanaweza.

Mbali na hivyo kiwanda kinaingiza pato kubwa sana serikali kuanzia ulipaji wa Maji,Umeme na kodi kwa ujumla huku wafanyakazi zaidi ya 1000 wote wakiwa wamekatiwa NSSF,PPF na mifuko mingine.
 Afisa Uzalishaji wa kiwanda hicho Piganio Mwita akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari
 Ufafanuzi wa mambo ukiendelea
 Maswali kama kawa
 Hii ni sukari nyeupe inayotumika katika kiwanda hicho ambapo inatolewa Misri


 Chupa kizioshwa kwa umakini mkubwa
 Ufafanuzi wa Jambo kutoka kwa mzee Japhet
 Hapo tunaonyeshwa uchafu unaokuwa kwenye chupa
 Rahaaaaaaa sana ukijua jinsi zinavyozalishwa
 hii ni sehemu ya Maji Machafu kiukweli kiwanda hiki kinahitaj sifa kwa kuweza kuhifadhi maji haya na kuyazalisha  tena  katika matumizi mengine
Ujumbe huu ni muhimu sana

Watanzania wanaombwa kuwa wastaarabu wakati wanapomaliza kunywa soda wasiweke kitu chcochote ndani ya chupa

No comments:

Post a Comment