Sunday, January 13, 2013

TAZAMA LIBENEKE LA JAMII INFORMATION NETWORK

                                                         Habari Waungwana

Natumaini u na afya njema hasa katika kusherekea Miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar,Pamoja na hivyo bado tuna jukumu kubwa katika kuikomboa Jamii yetu ambayo ipo katika Mazingira Magumu hasa katika upatikanaji wa habari lakini pia kutoibua Changamoto zilizopo katika Jamii huska.

Kwa kutambua umuhimu wa Jamii yetu, JAMII INFORMATION NETWORK  (JIN) ni Asasi ambayo imeamua kusogelea Jamii  katika kuibua Changamoto mbalimbali na Kuipasha Jamii hska habari. Tunapenda  kuitumia blog hii kuitangaza Blog ya Asasi ya Jamii Information Network ambayo itakuwa ikielezea mambo mbalimbali yanayofanywa na Asasi hiyo

               Tembelea  blog hii kila Mara          www.jamiiinformation.blogspot.com

No comments:

Post a Comment