Monday, January 14, 2013

AJALI YAUA WATU SABA NA WENGINE 48 KUJERUHIWA MJINI BUNDA

Watu saba wamefariki dunia  na  wengine 48 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha mabasi  mawili  ya Mwanza Coach lenye namba T 736 AWJ lilikuwa likitokea Musoma kuelekea jijini Mwanza  na Basi la Best Line Lenye namba T535 AJR ambalo lilikuwa likitokea Mwanza kuelekea Tarime  mkoani Mara


 kamanda wa  polisi  mkoa wa Mara kamishina Msaidizi,Mwandamizi Absalom Mwakyoma amesema kuwa  ajali hiyo imetokea jana Majira ya saa kumi na moja jioni katika barabara kuu  ya Musoma -  mwanza katika kijiji cha nywatari  mpakani mwa mkoa wa mara na simiyu  katika wilaya ya bunda

No comments:

Post a Comment