-Anaitwa Anastazia Dulianus miaka 18,ni mwenyeji wa Wilaya ya Serengenti mkoani Mara,amefika jana Hospital ya Mkoa lakini mpaka sasa hajapata huduma yoyote .
Mzazi wake anatafuta fedha za kwenda kupima nyama ya Mguu KCMC Moshi,anahitaji msaada wa kifedha atakayeguswa na hali hii afike wodi namba 4 hospital ya Mkoa wa Mara
Au tuwasiliane kwa namba 0756 035 825 au weka katika akaunti 022201093996 NBC
No comments:
Post a Comment