Monday, November 26, 2012

MATUKIO MBALIMBALI YA MKUTANO WA CCM MUSOMA JANA

Wazee wa Chama cha Mapinduzi kutoka kata ya Bweri wakiingia uwanja wa Mukendo hapo jana
 Msafara wa Mjumbe wa Nec Taifa Ndugu Vedastus Mathayo ukiingia uwanjani
 Ndugu Mathayo akiwa na walinzi wake wakati akiingia uwanjani
 Kutoka kushoto ni Ndg Mathayo,Ndg Musoma utalii na mkuu wa Wilaya ya Musoma Ndg Jackson Msome
                                       Meza kuu
 Ndg Mathayo akiwa jukwaani akiwahutumia wananchi waliokuwepo hapo jana

No comments:

Post a Comment