Wednesday, November 21, 2012

HUPIGWA NA MMEWE MARA TATU KWA MWEZI,ANASEMA ANAONA KAWAIDA KUPIGWA

  Anaitwa Bi Pendo Malima (31) mkazi wa Buhare Musoma mkoani Mara
   Waandishi wa habari wakifanya mahojiano na Bi Pendo hospital ya Mkoa wa Mara
 Beldina Nyakeke mwandishi wa gazeti la Citizen (Mara) akifanya Mahojiano na Bi Pendo
 Paschal Michael wa Zanzibar Leo akifanya Mahojiano na Bi Pendo leo
 Shomary Binda mwandishi wa gazeti la Mtanzania akichukua maelezo ya Bi Pendo
-Mme wake anaitwa  Ndege Aloyce ni Mvuvi
-Sababu ya kupigwa ni Simu
-Ana umri wa miaka 31
-Kipigo kwake ni kawaida kwa mwezi anapata dozi yaani mara tatu
-Anawatoto 3
-Amesema akipona harudi kwa mmewe
-Hali yek bado maana akiongea kichwa kinatingishika kama Bondia Mohammed Ally

No comments:

Post a Comment