Kaseja wa Polisi Mara akifanya Mazoezi
Waamuzi wa mchezo huo leo
Wachezaji wa kikosi cha Polisi Tabora
Fanibulaaaaaaaaaaaaaa
Mashabiki wakifuatilia mtanange huo
Baada ya mchezo huo kumalizika kwa sare ya 1-1 wadau wakaanza kuulizana
Wachezaji hawakuwa na Amani tena
Wadau wa Soka mkoani Mara leo wameendelea kupoteza matumaini baada ya timu ya soka ya Polisi Mara kushindwa kuutumia vyema uwanje wake wa Nyumbani kwa kutoka sare ya bao 1-1 na kikosi cha timu ya Polisi Tabora.Mpaka sasa kikosi cha Polisi Mara kina point 2 katika michezo minne































No comments:
Post a Comment