Ziara ilikuwa ni kubwa katika hifadhi hiyo ya Ngorongoro na hapa nilibahatika kukutana na afisa mahusiano katika hifadhi hiyo Adam Akyo na kumjulisha juu ya blog yangu ili tuone ni jinsi gani blog hii inaweza kutumika katika kuitangaza hifadhi hiyo
Katika mkutano na waandishi wa habari wakuu wa idara mbalimbali walikuwepo katika kutoa ufafanuzi katika hifadhi hiyo kama wanavyoonekana katika picha
Hili ni basi ambalo linatumika katika kusafirisha watalii wa ndani na nje kuwapeleka katika Bonde la Ngorongoro ambapo hata hivyo mhifadhi mkuu wa hifadhi hiyo Bernad Mrunya alisema kuwa litatumika kusafirisha watalii wa ndani kutoka jijini Arusha na baadaye mikoa ya kanda ya ziwa.jamani tuamke
Shomar binda mtangazaji wa Victoria Fm alikuwepo katika ziara hiyo na hapo anaonekana akiwa amepozi kwambali unamuona Twiga
Abdel akiendelea na mahojiano
Huyu ni mkuu wa kitengo cha maendelo ya Jamii katika hifadhi hiyo Dr Justice na hapa alikuwa akitoa ufafanuzi
Picha ya Kiboko akiwa majini
Mwandishi wa habari wa ITV mkoani Mara George Marato nae aalikuwepo katika ziara hiyo ya siku tatu
Mwana wa Afrika akifurahia kuona rasilimali ya nchi ilivyo,wanyama kama hawa wapo kwetu jamani
Baada ya kazi mapumiziko
Afisa uhusiano katika hifadhi ya Ngorngoro Vincent akibadilishana mawazo na waandishiwa wa habari
Mhifadhi mkuu wa hifadhi ya Ngorongoro Bernad Mrunya akiongea na waandishi wa habari waliotembelea hifadhi hiyo hivi karibuni
Bernad Mrunya
Ndege anayesadikika kuwa na kilo nyingi zaidi ya wote,kilo 12
Hawa ni ndege wanaohama kutoka nchi moja kwenda nyingine kulingana na hali ya hewa
Sura nzuri ya bonde la Ngorongoro
Paschal Michael mmoja wa waandishi wa habari mjini Musoma akiwa katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro
Kiongozi wa msafara wa waandishi wa habari kutoka mkoani Mara Maximilian Ngessi akifafanua jambo kwa mhifadhi mkuu
Mpenzi mtazamaji wa blog hii habari ni nyingi sana ambazo tumezipata kutoka katika bonde la Ngorongoro hivyo nitakuwa nakuletea siku hadi siku
No comments:
Post a Comment