Thursday, October 28, 2010

NAAMINI KIPAJI CHA KWELI SI KUGHUSHI


                             Hapa nashangilia baada ya kuifunga Mara sekondary mwaka 2002
Hii ni timu ya J.K Boys  ya mkoani hapa na hapo ilikuwa mwaka 2003


               Wadau hizi ni picha zangu kipindi napiga kabumbu katika timu mbalimbali hapa mkoani Mara,naamini nilikuwa na kipaji cha ukweli ingwa uongozi wa soka ndio chanzo cha kupoteza vipaji kama hivi

No comments:

Post a Comment