Saturday, September 25, 2010

KIKWETE KUHUTUBIA LEO MUSOMA

Mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi  CCM Jakaya Kikwete leo majira ya saa nane mchana atakuwa katika uwanja wa shule ya msingi Mukendo akihitubia wananchi wa manispaa ya Musoma katika kunadi sera za Chama hicho.

                                                          kikwete


                                                    CCM

No comments:

Post a Comment