Friday, August 27, 2010

ROYAL COLLEGE OF TANZANIA


Wantazania mambo vipi leo nimeona ni vyema sana nikakuonyesha japo kwa uchache chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Royal kilichopo jiji ni Dar es Salaam maeneo ya urafiki,ni chuo ambacho naweza kusema ni bora kwa vyuo vya habari Tanzania.Nitakuletea japo kwa uchache orodha ya waandishi na watangazaji waliosoma hapo baadayeeeeeeeeeeeeeee upo

 Hawa ni miongoni mwa wanafunzi katika chuo hicho kutoka kulia ni Rachael na Fredy wakiwa katika pozi


No comments:

Post a Comment