Saturday, April 9, 2011

NILIPATA NAFASI YA KUTEMBELEA CHUO CHA MUSOMA UTALII NA KUONANAN NA WANAFUNZI WA MASUALA YA HABARI



Nilipata nafasi ya kutembelea chuo cha Musoma Utalii mjini Musoma nikiwa na Shomari Binda ambapo tuliongea maswali mbalimbali nanayohusiana na tasini ya habari lakini pia tuliweza kutazama changamoto zilizopo katika sekta ya habari hapa nchini 

No comments:

Post a Comment