Saturday, January 21, 2012

VICTORIA YAFANYA MKUTANO WA HADHARA KIJIJI CHA KOGAJA KWA UDHAMINI WA TANZANIA MEDIA FUND (TMF)

  Hii ni moja ya Guest inayopatikana katika kijiji cha Kogaja wilayani Rorya
       Simba wa vita popote anafika
          Hizi ni ofisi za mapato huko Kogaja
Hiyo nyumba inayoonekana inasemekana ndiyo kielelezo cha mpaka wa Tanzania na Kenya

                        Mikakati ya kuanza kuwa kuwafahamisha wananchi juu ya mkutano
                                  Shule ya msingi Kogaja
           Udereva huu wa Timba si mzuri hata kidogo,acha simu akili na mawazo yote katika usukani
  aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhh Kipara,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhh Timba

 Mdau  ambaye nilikutana nae Kogaja ambaye alisema kuwa yeye ni msikilizaji mzuri sana wa VFM lakini pia hapo alikuwa akinionyesha masafa ya redio mbalimbali za kenya
 Jamaa anasema kuwa ni msikilizaji wangu mzuri sana kwenye kipindi hasa cha Pasua kichwa,BBF na Nyumbani Afrika kila jumapili saa kumi na moja mpaka saa moja za jioni
 yote tisa kumi ni hapo nilipokutana na mzee mmoja akitumia fedha za kenya eneo hilo ambapo alisema kuwa zinatumika bila matatizo
 Nilidhani katika karne hii ya sayansi na teknolojia hakuna saloon hizi kumbe Kogaja zipo

 MTAZAMAJI WA BLOG YA MWANA WA AFRIKA NITAENDELEA KUKULETEA PICHA NA HABARI  MBALIMBALI ZA MKUTANO HUO

No comments:

Post a Comment