Katika Kikao cha kamati ya mkoa wa Mara kilichomalizika leo mkoani hapa kimeagiza shule zote za msingi mkoani Mara kuanza kutoa chakula cha katika shule hizo ili kumwezesha mtoto kusoka katika mazingira salama katika kufikiri,Katika kikao hicho mkuu wa mkoa wa Mara ambaye ndiyo mwenyekiti wa kikao hicho ameipongeza wilaya ya serengeti kwa kuanzisha utaratibu huo na kuweza kufanikiwa kwa asilimia kubwa.
Wajumbe wa mkutano huo wakiwa makini katika kikao hicho leo mchana
Ukumbi safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Umakini ni jambo muhimu katika jambo lolote
Mkuu wa mkoa wa Mara Bw John Gabriel Tuppa akiongea jambo katika kikao hicho,na hapo chini ni picha ya wanahabri wakiwa mitamboni katika kuifahamisha jamii kutoka kushoto ni Anna Mroso katikati Mwana wa Afrika na Mwisho Geroge Marato wa ITV
Kuna wakati hali ilikuwa tete ukumbini hivyo tulitoka nje katika kuwacliana na watu wengine
Moja ya mambo ambayo pia yalijadiliwa hii leo ni pamoja na kuongelea suala la kujengwa kwa hospital ya kwangwa ili iwe hospital ya rufaa ya mkoa wa Mara ambapo hazina walisema hawana fedha lakini wana Mara kwa kauli moja wamesema wataungana katika ujenzi huo,aidha mganga mkuu akisoma taarifa katika kikao hicho amesema harambee kubwa itafanyika jijini Dar es salaam ikiongozwa na Rais wa Tanzani Jakaya Mrisho Kikwete
No comments:
Post a Comment