Tuesday, March 22, 2011

BREAKING NEWSS,KUNDI LA TAARABU LA FIVE STAR TAARABU LAPATA AJALI MIKUMI MOROGORO

Kundi la muziki wa Taarabu la FIVE STAR limepata ajali leo katika eneo la mbunga ya  mikumi mkoani Morogroro ambapo taarifa zinasema zaidi ya wanamuziki 10 wa bendi hiyo wamefariki akiwemo kiondozi wa kundi hilo Issa Kijoti.

Taarifa zinasema wanamuziki hao walikuwa wanatoka Songea wakielekea Dar es Salaam  wakiwa katika basi la Coaster,poleni sana wana familia kwa p
amoja Mwana wa Afrika napenda kuwapeni pole nyote.

No comments:

Post a Comment