Baadhi ya wananchi wa kinesi wakiwa katika jengo la upasuaji la kituo cha Afya
Wananchi wakiendelea kumsikiliza RC Mulongo
Vifaa vilivyopo katika kituo hicho
Mkuu wa mkoa
wa Mara Bw MAGESA MULONGO ametoa wiki mbili kwa
Mkurugenzi wa halmshauria ya
wilaya ya Rorya kuhakikisha kituo cha Afya cha Kinesi kinaanza kazi ya
upasuaji.
Kauli ya
mkuu huyo wa mkoa inafuatia kususua kuanza kutumika kwa jengo hilo kutokana na
tatizo la kutokuwepo kwa huduma ya umeme na Maji hivyo kusababisha wananchi
katika kijiji hicho kutafuta huduma za upasuaji katika hospital ya Rufaa ya
mkoa wa Mara.
"
Mkurugenzi na mhe Makamu Mwenyekiti ndani ya wiki mbili nataka kituo hiki kiwe
kimeanza kazi,mtajua mtakapotoa hela lakini ninachotaka ni hiki kituo kianze
kazi ndani ya siku kumi na nne"alisema Bw Mulongo
No comments:
Post a Comment