Maadhimisho
ya 27 ya wiki ya Maji kitaifa yanatarajia kufanyika
mkoani Mara kuanzia March 16 hadi March 22
mwaka 2015,ambapo serikali ya mkoa huo imesema upatikanaji wa Maji kwa
sasa vijijini ni aslimia 44.3 huku Mjini
ikiwa ni asilimia 53.5
Mkuu wa mkoa wa Mara kapteni Mstaafu ASSERI MSANGI amesema hayo wakati
akiongea na waandishi wa habari mkoani hapa ambapo amesema mradi mkubwa wa Maji
unaojengwa hapa Manispaa ya Musoma ukikamilika upatikanaji wa Maji utakuwa kwa
silimia mia moja.
No comments:
Post a Comment