KOCHA WA POLISI MARA AKITOA MAELEKEZO KWA WACHEZAJI
|
TIMU ya soka ya
maafande wa polisi Mara imeendelea kujifua kwenye viwanja vya posta mjini hapa
katika kujiandaa na ligi daraja la kwanza huku wadau wa wakiombwa kuwa karibu
na timu hiyo kuhakikisha inapanda ligi kuu msimu ujao.
Akizungumza na Blog hii kwenye mazoezi ya timu hiyo,msemaji
wa timu ya polisi Mara Musa Keita amesema wachezaji wote waliofika kwenye
mazoezi ya timu hiyo wanaendelea na mazoezi chini ya benchi la ufundi na
wanashukuru mungu mazoezi yanakwenda vizuri na wamepata wachezaji wazuri.
|
No comments:
Post a Comment