Daraja limearibika sana.
NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.
Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,
Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?
No comments:
Post a Comment